Skip to content
الذَّاريَات /

Aya 56

51 : 56
الذَّاريَات Aya 60
Sura · الذَّاريَات
Kiswahili · Barawani
51 : 56

وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِيَعۡبُدُونِ

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.

Explanation & meanings · 1
  1. Wala sikuwaumba majini na watu kwa jambo la kuniletea Mimi manufaa, bali ili waniabudu, na kuniabudu Mimi ni manufaa kwao.