Skip to content
الذَّاريَات /

Aya 34

51 : 34
الذَّاريَات Aya 60
Sura · الذَّاريَات
Kiswahili · Barawani
51 : 34

مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلۡمُسۡرِفِينَ

Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.

Explanation & meanings · 1
  1. Mawe hayo ni makhsusi na maalumu kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka katika mambo machafu.