51 : 10
قُتِلَ ٱلۡخَرَّٰصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
Explanation & meanings · 1
- Wameteketea waongo wanao sema katika khabari za Kiyama kuwa ni mambo ya dhana na kukisia tu, ambao kwamba wamezamishwa katika ujinga, wameghafilika na dalili za yakini.