Skip to content
الدُّخان /

Aya 51

44 : 51
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 51

إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٖ

Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika hao ambao wamejikinga nafsi zao na maasi kwa kufuata ut'iifu wa Mwenyezi Mungu wapo pahala patukufu ambapo ndani yake wao wanajipatia amani kwa nafsi zao.