Skip to content
الدُّخان /

Aya 4

44 : 4
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 4

فِيهَا يُفۡرَقُ كُلُّ أَمۡرٍ حَكِيمٍ

Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima!

Explanation & meanings · 1
  1. Katika usiku huu wenye baraka hupambanuliwa baina ya mambo yote yenye hikima, na Qur'ani ndio kilele cha hikima, na ndio pambanuo baina ya kweli na uwongo. Na kwa hivyo ndio ikateremshwa katika usiku huo.