44 : 38
وَمَا خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَا لَٰعِبِينَ
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.
Explanation & meanings · 1
- Na Mwenyezi Mungu hakuumba mbingu na ardhi na viliomo baina yao bila ya hikima.