Skip to content
الدُّخان /

Aya 16

44 : 16
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 16

يَوۡمَ نَبۡطِشُ ٱلۡبَطۡشَةَ ٱلۡكُبۡرَىٰٓ إِنَّا مُنتَقِمُونَ

Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa.

Explanation & meanings · 1
  1. Ewe Mtume! Watajie ile siku tutapo washika kwa mshiko mkubwa, wa nguvu. Nasi kwa mshiko huu ndio tunawatesa.