Skip to content
الدُّخان /

Aya 10

44 : 10
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 10

فَٱرۡتَقِبۡ يَوۡمَ تَأۡتِي ٱلسَّمَآءُ بِدُخَانٖ مُّبِينٖ

Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,

Explanation & meanings · 1
  1. Basi ewe Mtume! Ngojea ukame utapo wateremkia, wakasibiwa na kukonda na udhaifu wa kuona, ikawa mtu huwa anaona baina ya mbingu na ardhi moshi dhaahiri shaahiri, akawa anasikia mvumo wake wala hauoni.