Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 56

43 : 56
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 56

فَجَعَلۡنَٰهُمۡ سَلَفٗا وَمَثَلٗا لِّلۡأٓخِرِينَ

Walipo tukasirisha tuliwapatiliza tukawazamisha wote!

Explanation & meanings · 1
  1. Tukamfanya Firauni na kaumu yake kuwa ni viongozi wa makafiri wa baada yao katika kustahiki mfano wa adhabu yao, na kuwa ni masimulizi ya namna ya ajabu ya watu wote kuyazingatia.