41 : 8
إِنَّ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُمۡ أَجۡرٌ غَيۡرُ مَمۡنُونٖ
Hakika wanao amini na wakatenda mema watakuwa na ujira usio na ukomo.
Explanation & meanings · 1
- Hakika Waumini wanao tenda mema watapata malipo mazuri yasiyo katika.