Skip to content
فُصِّلَت /

Aya 7

41 : 7
فُصِّلَت Aya 54
Sura · فُصِّلَت
Kiswahili · Barawani
41 : 7

ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡتُونَ ٱلزَّكَوٰةَ وَهُم بِٱلۡأٓخِرَةِ هُمۡ كَٰفِرُونَ

Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.

Explanation & meanings · 1
  1. Na washirikina wasio toa Zaka kuwapa wanao stahiki watapata adhabu kali. Na wao tu, si wenginewe, ndio wanao kataa kuwa upo uhai wa Akhera.