Skip to content
فُصِّلَت /

Aya 18

41 : 18
فُصِّلَت Aya 54
Sura · فُصِّلَت
Kiswahili · Barawani
41 : 18

وَنَجَّيۡنَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَكَانُواْ يَتَّقُونَ

Na tukawaokoa walio amini na wakawa wanamcha-mngu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukawaokoa kutokana na adhabu hii wale walio amini, na wakawa wanamcha Mwenyezi Mungu na wanaiogopa adhabu yake.