Skip to content
صٓ /

Aya 37

38 : 37
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 37

وَٱلشَّيَٰطِينَ كُلَّ بَنَّآءٖ وَغَوَّاصٖ

Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukamdhalilishia kila mjenzi na mpiga mbizi katika bahari kuu miongoni mwa mashetani maasi.