Skip to content
صٓ /

Aya 36

38 : 36
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 36

فَسَخَّرۡنَا لَهُ ٱلرِّيحَ تَجۡرِي بِأَمۡرِهِۦ رُخَآءً حَيۡثُ أَصَابَ

Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.

Explanation & meanings · 1
  1. Tukamdhalilishia upepo, ukenda kama anavyo taka maridhawa, kokote aliko kusudia na kutaka.