Skip to content
الصَّافَات /

Aya 95

37 : 95
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 95

قَالَ أَتَعۡبُدُونَ مَا تَنۡحِتُونَ

Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe

Explanation & meanings · 1
  1. Ibrahim akawaambia kwa kuwahizi: Hivyo nyinyi mnaabudu mawe mliyo yachonga nyinyi wenyewe kwa mikono yenu? Akili zenu zimekwenda wapi?