Skip to content
الصَّافَات /

Aya 85

37 : 85
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 85

إِذۡ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوۡمِهِۦ مَاذَا تَعۡبُدُونَ

Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?

Explanation & meanings · 1
  1. Alipo chukia kuwa baba yake na watu wake wanaabudu masanamu, akawaambia: Ni nini haya masanamu mnayo yaabudu?