Skip to content
الصَّافَات /

Aya 74

37 : 74
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 74

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ

Isipokuwa waja wa Mwenyezi Mungu waliokhitariwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Lakini walikuwapo Waumini ambao aliwakhitari Mwenyezi Mungu wamuabudu Yeye, ili wapate fadhila za ukarimu wake. Basi hao walizipata thawabu zake, na wakaepukana na adhabu yake.