Skip to content
الصَّافَات /

Aya 59

37 : 59
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 59

إِلَّا مَوۡتَتَنَا ٱلۡأُولَىٰ وَمَا نَحۡنُ بِمُعَذَّبِينَ

Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Je! Sisi tutakaa milele tukineemeka katika Pepo, wala hatufi kabisa isipo kuwa kule kufa kwetu mara ya kwanza duniani, na wala hatuadhibiwi baada ya kwisha ingia Peponi?