Skip to content
الصَّافَات /

Aya 48

37 : 48
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 48

وَعِندَهُمۡ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ عِينٞ

Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.

Explanation & meanings · 1
  1. Na watu hawa wat'iifu walioko Peponi watakuwa nao mahuruleini walio safi, wema, macho yao hayawatazami ila waume zao tu, basi hawayatafuti matamanio maovu, jicho la mwema haliangalii ila mema.