Skip to content
الصَّافَات /

Aya 33

37 : 33
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 33

فَإِنَّهُمۡ يَوۡمَئِذٖ فِي ٱلۡعَذَابِ مُشۡتَرِكُونَ

Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.

Explanation & meanings · 1
  1. Kwani hakika wafuasi na wenye kufuatwa wote watashiriki pamoja katika adhabu ya Siku ya Kiyama.