Skip to content
الصَّافَات /

Aya 160

37 : 160
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 160

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ

Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Lakini waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa wakasafishwa hawana makosa ya huo uzushi wa makafiri.