Skip to content
الصَّافَات /

Aya 147

37 : 147
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 147

وَأَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ مِاْئَةِ أَلۡفٍ أَوۡ يَزِيدُونَ

Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.

Explanation & meanings · 1
  1. Hata alipo pata nafuu kutokana na yaliyo msibu, tukamtuma awaendee watu wengi. Wanasema walio waona kuwa wanapata laki moja au zaidi.