Skip to content
الصَّافَات /

Aya 148

37 : 148
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 148

فَـَٔامَنُواْ فَمَتَّعۡنَٰهُمۡ إِلَىٰ حِينٖ

Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.

Explanation & meanings · 1
  1. Wakauwitikia wito wake, nasi tukawakunjulia neema zetu kwa muda maalumu.