Skip to content
الصَّافَات /

Aya 142

37 : 142
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 142

فَٱلۡتَقَمَهُ ٱلۡحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٞ

Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Samaki akammeza, naye hakika alistahiki lawama kwa kuikimbia kazi yake ya Daa'wa, Wito, kuwaitia watu wafuate Haki, na kuacha kuwasubiria wale walio kwenda kinyume naye..