Skip to content
يسٓ /

Aya 74

36 : 74
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 74

وَٱتَّخَذُواْ مِن دُونِ ٱللَّهِ ءَالِهَةٗ لَّعَلَّهُمۡ يُنصَرُونَ

Na wameishika miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati wapate kusaidiwa!

Explanation & meanings · 1
  1. Na washirikina wamefanya miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu wakiwaabudu kwa kutaraji kuwa ati watawasaidia.