36 : 72
وَذَلَّلۡنَٰهَا لَهُمۡ فَمِنۡهَا رَكُوبُهُمۡ وَمِنۡهَا يَأۡكُلُونَ
Na Sisi tukawadhalilishia. Basi baadhi yao wako wanao wapanda, na baadhi yao wanawala.
Explanation & meanings · 1
- Na hao wanyama tumewafanya wawatumikie. Wengine basi wanawapanda, na wengine wanawala.