Skip to content
يسٓ /

Aya 72

36 : 72
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 72

وَذَلَّلۡنَٰهَا لَهُمۡ فَمِنۡهَا رَكُوبُهُمۡ وَمِنۡهَا يَأۡكُلُونَ

Na Sisi tukawadhalilishia. Basi baadhi yao wako wanao wapanda, na baadhi yao wanawala.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hao wanyama tumewafanya wawatumikie. Wengine basi wanawapanda, na wengine wanawala.