Skip to content
يسٓ /

Aya 42

36 : 42
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 42

وَخَلَقۡنَا لَهُم مِّن مِّثۡلِهِۦ مَا يَرۡكَبُونَ

Na tukawaumbia kutoka mfano wake wanavyo vipanda.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukawaumbia mfano wa hiyo marikebu na vyenginevyo wanavyo vipanda kadhaalika.