Skip to content
فَاطِر /

Aya 16

35 : 16
فَاطِر Aya 45
Sura · فَاطِر
Kiswahili · Barawani
35 : 16

إِن يَشَأۡ يُذۡهِبۡكُمۡ وَيَأۡتِ بِخَلۡقٖ جَدِيدٖ

Akitaka atakuondoeni na alete viumbe vipya.

Explanation & meanings · 1
  1. Mwenyezi Mungu akitaka kukuteketezeni, basi atakuteketezeni kwa utimilivu wa uweza wake. Na alete uumbaji mpya utao ridhiana na hikima yake.