Skip to content
لُقمَان /

Aya 8

31 : 8
لُقمَان Aya 34
Sura · لُقمَان
Kiswahili · Barawani
31 : 8

إِنَّ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُمۡ جَنَّٰتُ ٱلنَّعِيمِ

Hakika walio amini na wakatenda mema watakuwa nazo Bustani za neema.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika walio amini na wakatenda vitendo vyema watapata Bustani zenye neema.