Skip to content
لُقمَان /

Aya 24

31 : 24
لُقمَان Aya 34
Sura · لُقمَان
Kiswahili · Barawani
31 : 24

نُمَتِّعُهُمۡ قَلِيلٗا ثُمَّ نَضۡطَرُّهُمۡ إِلَىٰ عَذَابٍ غَلِيظٖ

Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.

Explanation & meanings · 1
  1. Tunawastarehesha kwa muda mchache katika dunia yao, kisha tutawalazimisha kwenda kwenye adhabu kali isiyo stahimilika.