Skip to content
آل عِمران /

Aya 138

3 : 138
آل عِمران Aya 200
Sura · آل عِمران
Kiswahili · Barawani
3 : 138

هَٰذَا بَيَانٞ لِّلنَّاسِ وَهُدٗى وَمَوۡعِظَةٞ لِّلۡمُتَّقِينَ

Hii ni bayana kwa watu wote, na ni uwongofu, na mawaidha kwa wachamngu.

Explanation & meanings · 1
  1. Kwa kutajwa sifa za Waumini na kueleza shani ya Mwenyezi Mungu iliyo pita kwa walio kwisha tangulia lipo Bayana na Uwongozi kwa watu wafuate njia ya kheri, na kuwaachisha njia ya shari.