Skip to content
القَصَص /

Aya 51

28 : 51
القَصَص Aya 88
Sura · القَصَص
Kiswahili · Barawani
28 : 51

۞ وَلَقَدۡ وَصَّلۡنَا لَهُمُ ٱلۡقَوۡلَ لَعَلَّهُمۡ يَتَذَكَّرُونَ

Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka.

Explanation & meanings · 1
  1. Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu amewateremshia Qur'ani kwa utungo, baadhi yake ikifuatia baadhi kwa mujibu wa inavyo takikana na hikima, na kulingana na ahadi, na maonyo, na hadithi, na mazingatio, ili wapate kupima na kuyaamini yaliomo ndani yake.