Skip to content
الشعراء /

Aya 79

26 : 79
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 79

وَٱلَّذِي هُوَ يُطۡعِمُنِي وَيَسۡقِينِ

Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.

Explanation & meanings · 1
  1. Na Yeye ndiye aliye nineemesha kwa vyakula na vinywaji, na akaniwezesha kuvipata na kunafiika kwavyo, ili kuhifadhi uhai wangu.