Skip to content
الشعراء /

Aya 77

26 : 77
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 77

فَإِنَّهُمۡ عَدُوّٞ لِّيٓ إِلَّا رَبَّ ٱلۡعَٰلَمِينَ

Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Explanation & meanings · 1
  1. Kwani hakika hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni maaadui kwangu mimi na kwenu. Basi mimi siwaabudu hao. Lakini ninaye muabudu na najijongeza kwake ni Muumba wa walimwengu wote, na Mwenye kumiliki mambo yao, na Mwenye kuwalinda.