Skip to content
الشعراء /

Aya 60

26 : 60
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 60

فَأَتۡبَعُوهُم مُّشۡرِقِينَ

Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.

Explanation & meanings · 1
  1. Firauni na watu wake wakakaza mwendo ili wapate kuwawahi Wana wa Israili. Wakawakuta wakati wa kuchomoza jua.