26 : 60
فَأَتۡبَعُوهُم مُّشۡرِقِينَ
Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.
Explanation & meanings · 1
- Firauni na watu wake wakakaza mwendo ili wapate kuwawahi Wana wa Israili. Wakawakuta wakati wa kuchomoza jua.
فَأَتۡبَعُوهُم مُّشۡرِقِينَ
Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.