Skip to content
الشعراء /

Aya 58

26 : 58
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 58

وَكُنُوزٖ وَمَقَامٖ كَرِيمٖ

Na makhazina, na vyeo vya hishima,

Explanation & meanings · 1
  1. Tukawatoa, kadhaalika, kwenye khazina za dhahabu na fedha, na majumba waliyo kuwa wakiyakalia, wakineemeka kwa uzuri wake na ubora wa starehe zake.