26 : 58
وَكُنُوزٖ وَمَقَامٖ كَرِيمٖ
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
Explanation & meanings · 1
- Tukawatoa, kadhaalika, kwenye khazina za dhahabu na fedha, na majumba waliyo kuwa wakiyakalia, wakineemeka kwa uzuri wake na ubora wa starehe zake.