Skip to content
الشعراء /

Aya 135

26 : 135
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 135

إِنِّيٓ أَخَافُ عَلَيۡكُمۡ عَذَابَ يَوۡمٍ عَظِيمٖ

Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Mimi nina khofu asije Mwenyezi Mungu akakuteremshieni adhabu kali hapa duniani, na Akhera akakutieni katika Moto wa Jahannamu kwa sababu ya ujabari wenu na starehe alizo kustarehesheni Mwenyezi Mungu.