Skip to content
النور /

Aya 49

24 : 49
النور Aya 64
Sura · النور
Kiswahili · Barawani
24 : 49

وَإِن يَكُن لَّهُمُ ٱلۡحَقُّ يَأۡتُوٓاْ إِلَيۡهِ مُذۡعِنِينَ

Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii.

Explanation & meanings · 1
  1. Ama wakijua kuwa haki iko upande wao basi humjia Mtume mbio mbio ili awahukumu baina yao na makhasimu zao.