23 : 98
وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحۡضُرُونِ
Na najikinga kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie.
Explanation & meanings · 1
- Na ewe Mola Mlezi! Najilinda kwako wasiwe nami katika kitendo chochote ili kitendo hicho kiwe kimetakasika, safi, kwa ajili ya ridhaa yako tukufu.