Skip to content
المؤمنُون /

Aya 74

23 : 74
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 74

وَإِنَّ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِٱلۡأٓخِرَةِ عَنِ ٱلصِّرَٰطِ لَنَٰكِبُونَ

Na hakika wale wasio iamini Akhera wanajitenga na Njia hiyo.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hakika hao wasio iamini Akhera na yalioko huko ya Pepo au Moto wanaiacha Njia Iliyo Nyooka inayo mhifadhi mpitaji wakaishika njia ya ubabaishi na misukosuko na ufisadi.