Skip to content
المؤمنُون /

Aya 22

23 : 22
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 22

وَعَلَيۡهَا وَعَلَى ٱلۡفُلۡكِ تُحۡمَلُونَ

Na juu yao na juu ya marikebu mnabebwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na juu ya hawa wanyama wa kufuga na marikebu nyinyi mnapanda, na mnapakia mizigo. Basi Sisi tumekuumbieni njia za usafirishaji na upakizi nchi kavu na baharini. Na kwa hizo mnapata kuwasiliana nyinyi kwa nyinyi.