Skip to content
المؤمنُون /

Aya 102

23 : 102
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 102

فَمَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡمُفۡلِحُونَ

Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.

Explanation & meanings · 1
  1. A'mali (Vitendo) ndio mizani ya kupimia. Mwenye Imani nzuri na vitendo vyema atakuwa na uzito katika mizani ya Mwenyezi Mungu. Hao ndio walio fuzu.