Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 75

21 : 75
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 75

وَأَدۡخَلۡنَٰهُ فِي رَحۡمَتِنَآۖ إِنَّهُۥ مِنَ ٱلصَّٰلِحِينَ

Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika yeye ni miongoni mwa watenda mema.

Explanation & meanings · 1
  1. Tukampeleka njia ya watu wa rehema yetu. Hakika huyo alikuwa miongoni mwa watu wema alio wakusanya Mwenyezi Mungu katika rehema yake na akawakunjulia msaada wake.