Skip to content
الحِجر /

Aya 98

15 : 98
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 98

فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَكُن مِّنَ ٱلسَّٰجِدِينَ

Basi mtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi, na uwe miongoni wanaomsujudia.

Explanation & meanings · 1
  1. Ikikupata dhiki hiyo mkimbilie Mwenyezi Mungu Mtukufu umwelekee, na umt'ii na umnyenyekee, na utake msaada kwa Sala, kwani humo ndio imo poza.