Skip to content
الحِجر /

Aya 14

15 : 14
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 14

وَلَوۡ فَتَحۡنَا عَلَيۡهِم بَابٗا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ فَظَلُّواْ فِيهِ يَعۡرُجُونَ

Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,

Explanation & meanings · 1
  1. Watu hao wanataka wateremshiwe Malaika. Ewe Nabii! Usidhani kuwa ndio wataamini wakiteremshiwa. Bali hata tungeli wafungulia mlango wa mbingu wakawa wanapanda huko wakaona maajabu yaliyoko, na wakawaona Malaika,