Skip to content
يُوسُف /

Aya 61

12 : 61
يُوسُف Aya 111
Sura · يُوسُف
Kiswahili · Barawani
12 : 61

قَالُواْ سَنُرَٰوِدُ عَنۡهُ أَبَاهُ وَإِنَّا لَفَٰعِلُونَ

Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.

Explanation & meanings · 1
  1. Nduguze wakasema: Tutajaribu kusema na baba yake ageuze rai yake, iondoke khofu yake juu ya mwanawe. Na sisi tunakuhakikishia kuwa hatutokasiri wala kulegalega katika hayo.