Skip to content
الهُمَزة /

Aya 1

104 : 1
الهُمَزة Aya 9
Sura · الهُمَزة
Kiswahili · Barawani
104 : 1

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ

Ole wake kila safihi, msengenyaji!

Explanation & meanings · 1
  1. Atapata adhabu kali na maangamio huyo ambaye mtindo wake ni kuwafedhehi watu kwa kauli au kwa ishara, au kuwasengenya kuwavunjia hishima zao.