Skip to content
القَارعَة /

Aya 3

101 : 3
القَارعَة Aya 11
Sura · القَارعَة
Kiswahili · Barawani
101 : 3

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ

Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

Explanation & meanings · 1
  1. Na kitu gani kitacho kujuulisha hali ya AL-QAARIA'H katika kitisho chake juu ya nafsi za watu?