Skip to content
يُونس /

Aya 79

10 : 79
يُونس Aya 109
Sura · يُونس
Kiswahili · Barawani
10 : 79

وَقَالَ فِرۡعَوۡنُ ٱئۡتُونِي بِكُلِّ سَٰحِرٍ عَلِيمٖ

Na Firauni akasema: Nileteeni kila mchawi mjuzi!

Explanation & meanings · 1
  1. Firauni na kaumu yake wakadai kuwa Musa na nduguye ni wachawi, wala si Mitume! Akawataka watu wake wamhudhurishe kila aliye hodari katika fani za uchawi katika mamlaka yake.