Skip to content
البَلَد /

Aya 19

90 : 19
البَلَد Aya 20
Sura · البَلَد
Kiswahili · Barawani
90 : 19

وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ بِـَٔايَٰتِنَا هُمۡ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ

Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.

Explanation & meanings · 1
  1. Na walio zikataa dalili tulizo zisimamisha kuthibitisha Haki kutoka na Kitabu na hoja zake, hao ndio wapotovu watu waovu walio kosa kheri na watapata adhabu.